Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani.
WAKALA WA VIPIMO WADHAMIRIA KUTOKOMEZA LUMBESA
-
*Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo (WMA)
wakiimba wimbo wa ‘Mshikamano Daima’ kabla ya kuanza kikao cha 37 cha
Baraza hilo, k...
1 day ago